SIGN IN TO CHAT

WELCOME TO ALLAMANO SEMINARY - MOROGORO

TO PROCLAIM THE GOSPEL TO ALL NATIONS

Friday, May 24, 2013

ALLAMANO SEMINARI

ALLAMANO SEMINARI
Ni seminari ya shirika la wamisionari wa Consolata ambao wanafanya kazi katika nchi mbalimbali zaidi ya ishirini. Na hapa Tanzania wapo katika majimbo ya Dar-es-saalam, Iringa, Njombe, Morogoro, Singida, na sasa wameanza utume katika jimbo la Dodoma.
Seminari hii ilianzishwa mwaka 1993, na mpaka sasa imetoa mapadre ambao wanafanya kazi katika nchi mbalimbali na waseminari ambao wanaendelea na masomo yao katika nchi mbalimbali wakiwa katika hatua mbalimbali. Hii ni nyumba ya malezi ambapo vijana wenye nia ya kujiunga na shirika wanapata malezi pamoja na kusoma masomo ya Falsafa ambapo kijana anasoma kwa kiwango cha Shahada.
Seminari hupokea vijana kutoka mikoa mbalimbali hapa nchi ambao hujiunga baada ya kumaliza kidato cha sita na kuwa na sifa za kuendelea na chuo kikuu. Kabla ya kuingia katika nyumba hii ya malezi, kijana hutakiwa kuwa na mawasiliano na mkurugenzi wa miito wa shirika kwa kuandika barua ya maombi na ikiwezekana kuonana naye.

Vijana katika nyumba hii huandaliwa kuwa wamisionari ambao kama vile Maria alivyoleta Faraja ya kweli Duniani yaani Yesu Kristu, nao hufinyangwa ili kuwa wahudumu wa kanisa kwa njia ya kueneza injili popote dunia.

Wednesday, March 13, 2013

Habemus Papam! Cardinal Bergolio Elected Pope - Francis I

Brothers and sisters good evening. 
You all know that the duty of the Conclave was to give a bishop to Rome. It seems that my brother Cardinals have gone almost to the ends of the earth to get him… but here we are. I thank you for the welcome that has come from the diocesan community of Rome.
First of all I would like to say a prayer pray for our Bishop Emeritus Benedict XVI. Let us all pray together for him, that the Lord will bless him and that our Lady will protect him.
Our Father…
Hail Mary…
Glory to the Father…




And now let us begin this journey, the Bishop and the people, this journey of the Church of Rome which presides in charity over all the Churches, a journey of brotherhood in love, of mutual trust. Let us always pray for one another. Let us pray for the whole world that there might be a great sense of brotherhood. My hope is that this journey of the Church that we begin today, together with the help of my Cardinal Vicar, may be fruitful for the evangelization of this beautiful city.
And now I would like to give the blessing. But first I want to ask you a favour. Before the Bishop blesses the people I ask that you would pray to the Lord to bless me – the prayer of the people for their Bishop. Let us say this prayer – your prayer for me – in silence. 
[The Protodeacon announced that all those who received the blessing, either in person or by radio, television or by the new means of communication receive the plenary indulgence in the form established by the Church. He prayed that Almighty God protect and guard the Pope so that he may lead the Church for many years to come, and that he would grant peace to the Church throughout the world.]
[Immediately afterwards Pope Francis gave his first blessing Urbi et Orbi – To the City and to the World.]
I will now give my blessing to you and to the whole world, to all men and women of good will.
Brothers and sisters, I am leaving you. Thank you for your welcome. Pray for me and I will be with you again soon... We will see one another soon. 
Tomorrow I want to go to pray to the Madonna, that she may protect Rome.
Good night and sleep well!
source; VATICAN NEWS